NAFASI ZA MASOMO KWA MUHULA WA MACHI/APRILI 2018
Mkuu wa Chuo Cha Arusha East African Training Institute,
anawatangazia vijana wote waliomaliza Kidato cha Nne na Sita nafasi za
masomo kwa Muhula mpya wa masomo wa Machi/Aprili 2018 na Masomo yataanza
rasmi tarehe 03/04/2018.
Masomo yatakayo fundishwa ni; Uandishi wa Habari na Utangazaji wa Redio na Televisheni, Uhusiano wa Kimataifa na pia kuna kozi za muda mfupi ambazo ni Basic Computer Applications, Graphic Design, na Audio&Video Production.
Chuo kina usajili wa kudumu kutoka NACTE, na tunapatikana Philips Barabara kuu ya Arusha- Moshi.
Nyote mnakaribishwa!.
www.eatiarushatz.com
Masomo yatakayo fundishwa ni; Uandishi wa Habari na Utangazaji wa Redio na Televisheni, Uhusiano wa Kimataifa na pia kuna kozi za muda mfupi ambazo ni Basic Computer Applications, Graphic Design, na Audio&Video Production.
Chuo kina usajili wa kudumu kutoka NACTE, na tunapatikana Philips Barabara kuu ya Arusha- Moshi.
Nyote mnakaribishwa!.
www.eatiarushatz.com
Comments
Post a Comment