Posts

Showing posts from June 22, 2018

Mmomonyoko wa maadili kwa wanavyuo

Image
Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji   The Arusha East African Training Institute wakiwa kwenye semina yenye kichwa   cha somo linalosema   “ mmomonyoko wa maadili unavyoweza kuathiri   taaluma ya mwanachuo au wanachuo” , inayotolewa na Mch wa kimataifa Gift Urio maarufu kwa jina la AK47.                                                      Wanafunzi wa chuo wakiwa wanasikiliza semena                                                      iliyokuwa ikiendeshwa katika eneo la chuo philips                     ...