Posts

Showing posts from July 23, 2019

MKUU WA WILAYA YA ARUSHA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA BARABARA.

Image
Mkuu wa   wilaya ya Arusha Mheshimiwa GABRIELI .F. DAQARO amefanya ziara yake   mkoani hapa ya kutembelea barabara ya TARURA   mijini na vijijini , ambayo imekuwa ikikarabatiwa kwanzia mwezi wa kwanza mpaka sasa na ametembelea barabara ya kata za kati, Levolosi , Terati na Murieti. GABRIEL DAQARO, amesema kuwa wanatembelea kwasababu ni kazi yao ya   kawaida kutembelea miradi hiyo ili kujua kazi inayoendelea ndani ya wilaya na kazi inaenda vizuri lakini baadhi ya maeneo ni ya kusisitiza kwasababu kuna maeneo yanalegalega na wanatofautiana na mkataba waliyo pewa na serikali   katika utengenezaji wa barabara. Ameendelea kwa kusema kwamba, kutokana na kampuni ambazo hazijafanya kazi kwa wakati muwafaka   amekubaliana na TARURA kwa kutaka kazi ziheshimiwe kulingana na mkataba uliowekwa na serikali na kufikia tarehe 14 mwezi wa nane mwaka huu 2019 kazi iwe imekamilika. Hata hivyo amesema kuwa wapo wakandarasi ambao hawaeleweki na sababu wanazotoa ambaz...